KESHENI NA KUOMBA (Swahili Edition)
US$2.00
15% OFF CODE: SAVE15
Description
Tunapata Wakristo wengi wanatambua umuhimu wa maombi, lakini wengi wao hushindwa kupokea majibu ya Mungu kwa sababu hawajui namna ya kuomba kulingana na mapenzi ya Mungu. Nimevunjika moyo kuona na kusikia watu kama hao kwa muda mrefu, lakini ninafurahi sana kuchapisha kitabu kuhusu maombi chenye msingi wa zaidi ya miaka 20 ya kazi na kushuhudia moja kwa moja. Ninatumaini kwamba hiki kitabu kidogo kitakuwa cha msaada mkubwa kwa kila msomaji katika mkutano na kumwona Mungu, na kuishi maisha ya mao